Kahama FM

KAHAMA

msalala

May 17, 2021, 9:40 am

DC KAHAMA:Wauguzi na wakunga zuieni vifo vya wajawazito na watoto.

Serikali imewaagiza wauguzi na wakunga katika halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kuhakikisha wanazuia vifo visivyokuwa  vya lazima vya  akinamama wajawazito na watoto kwa kutoa huduma za afya stahiki  na kwa weledi utakaowezesha wananchi kufurahia upatikanaji wa huduma za matibabu. Kauli…