KAHAMA
August 23, 2021, 8:49 am
MSUMBA:Wana Kahama endeleeni kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu.
Wananchi katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya miundombinu mbalimbali za manispaa pamoja na kutekeleza miradi mbalimbali kwa manufaa ya wanakahama. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mkurugenzi mtendaji wa manispaa…
May 17, 2021, 9:40 am
DC KAHAMA:Wauguzi na wakunga zuieni vifo vya wajawazito na watoto.
Serikali imewaagiza wauguzi na wakunga katika halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kuhakikisha wanazuia vifo visivyokuwa vya lazima vya akinamama wajawazito na watoto kwa kutoa huduma za afya stahiki na kwa weledi utakaowezesha wananchi kufurahia upatikanaji wa huduma za matibabu. Kauli…
April 25, 2021, 4:41 pm
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA amefanya ukaguzi kwa…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP DEBORA MAGILIGIMBA leo Jumapili Aprili 25,2021 saa 11 alfajiri amefanya ukaguzi kwa mabasi yaendayo mikoani kutoka Kituo Cha Mabasi Kahama na kutoa elimu ya usalama barabarani kwa abiria na madereva wa magari hayo.…