Kahama FM
kutekeleza miradi
June 1, 2021, 6:04 pm
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama yapongezwa kwa kuelekeza fedha za mapato ya nd…
Halmashauri ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbli ya maendelea kwa kutumia mapato ya ndani ili kutatua changamoto za wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo na waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali…