Kahama FM
MKOPO
July 7, 2021, 4:18 pm
kikundi cha vijana 10 chapatiwa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi millioni 5…
Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi millioni 50 kwa kikundi cha vijana 10 katika kijiji cha Kakola kata Bulyanhulu. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi pikipiki hizo mkuu wa wilaya ya Kahama FESTO…