Kahama FM
radioday
May 2, 2021, 1:35 pm
DC ARUSHA:Tutawalinda waandishi wa habari na haki zao.
Na Kijukuu cha bibi K SERIKALI imeahidi kushirikiana na waandishi wa Habari wote nchini katika shughuli mbali mbali za maendeleo ikiwa ni Pamoja na kuwalinda waandishi wa Habari na kulinda haki zao. Hayo yamesemwa leo Jijini Arusha na Mkuu wa…