Kahama FM

risasi

kenya

April 9, 2021, 8:32 am

Mwandishi wa habari auwawa kwa kupigwa Risasi kichwani.

Mwandishi wa habari wa Shirika la utangazaji Kenya -KBC, Betty Barasa ameuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake ambako ni pembezoni mwa mji mkuu wa Nairobi. Wanaume wawili wenye silaha waliingia nyumbani kwa Barasa wakati alipokuwa anaendesha gari akiwa anatoka kazini…