Kahama FM
SHINYANGA
May 27, 2021, 4:28 pm
KAHAMA:Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa wa mauaji na matapeli Sugu.
Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linawashikilia watuhumiwa wawili SHINJE NGULA (23) mkazi wa Nindo wilaya ya Shinyanga vijijini na KISINZA LUSAMILA (28) mkazi wa mkoani katavi kwa kosa la mauaji ya HADIJA KISINZA mkoani humo. Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga…
April 23, 2021, 7:54 am
Madiwani Kishapu waazimia kumsimamisha kazi mweka hazina.
WIKI Kadhaa baada ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuipa hati ya mashaka Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Madiwani wa halmashauri hiyo kwa kauli moja wameazimia kumsimamisha kazi Mweka hazina wa halmashauri hiyo, Deus…