Kahama FM
SIMIYU
April 2, 2021, 7:59 am
Akamatwa akisafirisha Kobe 438
JESHI la Polisi mkoani Simiyu limemkamata mtu mmoja (jina lake limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara akiwa na mabegi matatu yaliyokuwa yamebeba kobe hai wapatao 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1. Mtuhumiwa…