Kahama FM
TASAF
July 7, 2021, 4:27 pm
Madiwani, watendaji na wawezeshaji katika halmashauri ya ushetu watakiwa kutoa r…
Madiwani, watendaji na wawezeshaji katika halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa ruzuku kwa kaya masikini kupitia TASAF kwa kuzingatia sifa za watu wanaopaswa kupata ruzuku hiyo, kwa uadilifu na kuzingatia taratibu, kanuni na sheria za utoaji fedha…
July 7, 2021, 10:55 am
Kaya masikini kunufaika na mradi wa TASAF Kahama.
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewataka viongozi, wawezeshaji na watendaji kutoa elimu kwa kaya masikini zinazopatiwa ruzuku ili fedha wanazopata waweze kijikimu na kuongeza kipato chao, kwa kuanzisha miradi itakayowapatia kipato cha kudumu. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…