Kahama FM

TASAF

July 7, 2021, 10:55 am

Kaya masikini kunufaika na mradi wa TASAF Kahama.

Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewataka viongozi, wawezeshaji na watendaji kutoa elimu kwa kaya masikini zinazopatiwa ruzuku ili fedha wanazopata waweze kijikimu na kuongeza kipato chao, kwa kuanzisha miradi itakayowapatia kipato cha kudumu. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…