Kahama FM
TATHIMINI VIONGOZI TFS
June 1, 2021, 6:18 pm
Wakala wa huduma za misitu Tanzania(TFS)Manispaa ya Kahama watakiwa kujitathmini…
Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kujitathmini katika utendaji kazi wao, ikiwa ni pamoja na kuzuia ukataji miti na kuchukua mbao kwa wafanyabiasha. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala…