UKATILI
September 11, 2021, 4:57 pm
MFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB ANUSURIKA KUFA KWA KUPIGWA NA MUME WAKE.
Mfanyakazi wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Debora Rwekwama (34) mkazi wa Bushushu Mjini Shinyanga amefanyiwa ukatili kwa kushambuliwa kwa kupigwa sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake aitwaye JACOBO MWAJENGA (35) kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni…
August 18, 2021, 8:58 pm
Ukatili wa kijinsia wapungua baada ya wananchi kuelimishwa.
Imeelezwa kuwa katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ukatili wa kijinsia umepungua baada ya wananchi kuelimishwa kupitia mikutano ya Kijiji, ikiwemo wanandoa kutelekeza familia na wanafunzi kuachishwa shule. Akizungumza na Kahama FM Afisa Tarafa ya Dakama TUMSHUKURU MDUI…
July 7, 2021, 11:19 am
Wanaume wilayani Kahama washauriwa kutoa taarifa za ukatili.
Wanaume wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameshauriwa kutoa taarifa za ukatili katika dawati la jinsia pindi wanapofanyiwa ukatili na wenza wao, ili waweze kutatuliwa changamoto zinazowakabli katika jamii.. Wito huo umetolewa na KOPLO JOSEPH shayo wakati akizugumza na KAHAMA FM, ambapo…
May 6, 2021, 7:23 pm
Wanaume wafanyiwa ukatili na wanawake.
Imeelezwa kuwa Moja ya ukatili wa kijnsia unaojitokeza katika kata ya Nyamilangano halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani shinyanga, ni baadhi ya wakina baba kupigwa na wake zao hali inayosababisha kutelekeza familia zao pamoja na wanandoa kutokugawana mali inapotokea wameachana.…
April 19, 2021, 8:05 am
Babu wa miaka 53 Ambaka mjukuu wake wa miaka 7 wakati mkewe akiwa Hospitali.
WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na ukatili kwa watoto yameendelea kuripotiwa mkoani Shinyanga. Ambapo, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Juma Emmanuel (53) mkazi wa…