Kahama FM
utenguzi
May 31, 2021, 8:27 am
Rais Samia atengua uteuzi wa Azza Hilal Kuwa Katibu tawala mkoa wa Simiyu.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Azza Hilal Hamad kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu na nafasi yake kuchukuliwa na Prisca Joseph Kayombo ambaye alikuwa Afisa Mkuu wa Utawala na Utumishi katika…