Kahama FM
VIWANDA
April 15, 2021, 4:04 pm
Vijana walionzisha kiwanda cha chaki Shinyanga walia kukosa soko.
Kikundi cha vijana 15 ambao ni wakazi wa Manispaa ya Shinyanga, walioanzisha kiwanda cha kutengeneza Chaki kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi, wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Zainab Telack, kuwaunga mkono kwa kutoa maagizo kwa shule zote mkoani humo zinunue…