Kahama FM

WACHIMBAJI

SHINYANGA

April 2, 2021, 7:36 am

Wachenjuaji wa dhahabu wajenga kituo cha Polisi

MKUU wa Wilaya ya Shinyanga, Jasinta Mboneko ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo cha Polisi kilichopo kwenye machimbo ya Dhahabu Mwakitolyo wilayani Shinyanga, ambacho kitasaidia kuimarisha ulinzi na usalama katika eneo hilo. Mboneko amebainisha hayo leo alipofanya ziara…