karagwe- fm
29 June 2021, 7:41 am
Wasiojikinga na Covid 19 kukiona cha moto
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Bi.Julieth Binyula ameziagiza Taasisi za Kiserikali na zisizokuwa za Kiserikali kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa wa COVI 19. Binyula amesema hayo kupitia mkutano wake na waandishi wa habari ofisini kwake na kuwataka wafanyabiashara pia…
18 May 2021, 8:59 pm
Watuhumiwa wa wizi wafyekewa Migomba na kubomolewa Nyumba.
Wananachi wenye hasira kali katika kijiji cha Rukole kata Ihanda wilaya ya Karagwe mkoani Kagera wamevamia na kubomoa nyumba pamoja kufyeka migomba ya wananchi wa kitongoji cha Kalalo wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu kijijini humo. Akizungumuza katika eneo la…
12 May 2021, 3:35 pm
Ulinzi kuimarishwa wakati wa Eid.
Jeshi la Polisi wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera limeanzisha doria maalumu kwaajili ya kupambana na vitendo vya uharifu na kuimarisha usalama wakati wa sikukuu ya Eid EL Fitri. Henry Benard Makwasa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya…