kijamii
28 March 2024, 9:50 am
Mtoto mwingine wa miaka 7 ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga Bunda
Misipina Silivester 7 mkazi wa kitongoji cha Arusha kijiji cha Mumagunga halmashauri ya wilaya ya Bunda ameshambuliwa na fisi akiwa anaanua udaga mwambani karibu na nyumbani kwao. Na Adelinus Banenwa Mtoto mwingine ajeruhiwa na fisi kijiji cha Mumagunga zikiwa ni…
8 March 2024, 12:51 pm
Wananchi Nyasura washiriki kuchimba mitaro wapate maji
Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi katika kujiletea maendeleo katika vijiji na mitaa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi…
8 March 2024, 10:40 am
Kambarage atoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda
Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira ametoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira…
2 March 2024, 6:05 pm
Bobaboda wapewa onyo kali kujichukulia sheria mkononi
Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…
21 February 2024, 9:28 pm
Bajeti Bunda DC 2024 na 2025 ni zaidi ya bilioni 31.3
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara tarehe 20 Feb, 2024 limeidhinisha makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni 31.3 kwa mwaka wa fedha 2024 na 2025. Na Adelinus Banenwa Baraza la…
19 February 2024, 11:26 am
Nyatwali mbioni kulipwa
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amelihakikishia baraza la madiwa la mji wa Bunda kuwa taratibu za kuwalipa wakazi wa Nyatwali zipo ukingoni na muda wowote kutoka sasa wakazi hao wataanza kulipwa. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya…
21 April 2022, 5:37 pm
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo AprilĀ 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza UislamuĀ Bunda huku mgeni…
9 March 2022, 8:52 pm
Mh.Nassar: Azindua zoezi la Anwani za makazi Wilaya ya Bunda
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amezindua rasmi zoezi la uwekaji wa anuani za makazi Hafla hiyo imefanyika viwanja vya stendi ya zamani Bunda mjini Leo march 9, 2022 Akizungumza kwenye uzinduzi huo mkuu wa Wilaya ya Bunda…
9 March 2022, 6:57 am
Mtangazaji wa Mazingira fm Tedy Thomas: atangazwa mwanamke shujaa Mkoa wa Mara k…
Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani nchini Tanzania pia ni miongoni mwa mataifa yaliyoungana na Dunia kusherekea siku hii muhimu kwa kauli Mbiu isemayo *@Haki na usawa kwa maendeleo endelevu. Jitokeze kuhesabiwa#* Mkoani Mara Mwandishi wa Habari na mtangazaji…
8 March 2022, 9:36 am
UWT Bunda: watembelea hospital ya Manyamanyama kuwasalimia wanawake waliojifungu…
Kuelekea siku ya kilele Cha maadhimisho siku ya wanawake duniani march 8 jumuiya ya UWT wilaya ya Bunda na kamati ya utekelezaji chama Cha Mapinduzi wametembelea hospital ya Manyamanyama iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda ili kuwaona wanawake waliojifungua katika…