Siasa
21 April 2024, 1:05 pm
Katibu mkuu BAVICHA alia na wazee
Changamoto kubwa inayowafanya vijana washindwe kuwania nafasi za uongozi ” ni wazee kutowaamini vijana, vijana wengi hawaaminiwi na wazee” Na Edward Lucas Katibu mkuu wa Baraza la Vijana Chadema Tanzania Bara, Yohana Kaunya amesema wazee kutowaamini vijana na ushirikishwaji mdogo…
17 April 2024, 6:09 am
Viongozi wa kata CCM Bunda wapewa pikipiki
Pikipiki 132 zimetolewa kwa viongozi wa Kata 33 CCM Bunda kwa lengo la kuimarisha uhai wa chama. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bunda Ndugu Mayaya Abraham Magese amekabidhi pikipiki kwa makatibu wa CCM wa chama na Jumuiya…
4 April 2024, 5:42 pm
Wanaojipitisha kusaka uongozi CCM Bunda waonywa
Katibu awa siasa na uenezi CCM Bunda ndugu Gasper Petro amewaonya wanachama wa CCM wanaopitapita kwa nia ya kugombea nafasi ambazo bado viongozi wake wapo kama vile uwenyekiti, udiwani au ubunge ndani ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika ziara ya…
12 March 2024, 1:48 pm
Aneth Nyamuziga achangia mbao 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda
Mjumbe wa mkutano mkuu UWT, CCM taifa na mjumbe wa halmashauri kuu CCM wilaya ya Ngara Aneth Philemon Nyamziga amewapongeza wanawake wa CCM wilaya ya Bunda kwa kujitoa kukijenga chama na jumuiya ya wanawake bila kuchoka. Na Adelinus Banenwa Mjumbe…
8 March 2024, 12:41 pm
Wanawake watakiwa kuachana na mikopo umiza, kausha damu
Wito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa maarufu kama kausha damu badala yake wakakope kwenye taasisi zinazotambulika kisheria kama vile benki na halmashauri. Na Adelinus BanenwaWito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa…
28 November 2021, 8:00 am
Mtelela:-TAKUKURU ichunguzeni TARURA Bunda mjini
Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum Mtelela ameelekeza TAKUKURU Wilaya ya Bunda kuichunguza TARURA Bunda Mjini kutokana na malalamiko mbalimbali ya utekelezaji usiyofaa wa miradi ya miundombinu ya Barabara ndani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda Maelekezo hayo ameyatoa kwenye…
3 July 2021, 3:33 pm
Baraza la umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Bunda
By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…
22 June 2021, 6:39 am
Mh Nassar: Akabidhiwa ofisi na Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupil…
By Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar Leo June 21, 2021 amekabidhiwa ofisi na Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupilipili ambaye amestaafu Akizungumza katika makabidhiano hayo Mh Nassar Amewataka wanabunda wote kuwa wamoja…
17 April 2021, 5:26 pm
Mh Waitara. Amtaka mkandarasi kufanya kazi usiku na mchana
MARA: APRILI 17, 2021 NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya M/S Beijing Construction Engineering Group Company Limited, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati mradi wa upanuzi wa kiwanja cha ndege…
8 April 2021, 12:49 pm
Dc Bunda awapongeza wananchi kwa ushirikiano kipindi cha maombolezo
Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Mwalimu Lydia Bupilipili amewashukuru Wananchi wa wilaya Bunda kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wakati wa kipindi chote cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe…