Nuru FM

Ziara ya siku mbili ya waziri mkuu mkoani Iringa

26 January 2021, 10:59 am

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuweka mazingira Rafiki na wezeshi kwa ajili ya kuendeleza Ubunifu unaofanywa na Vijana mkoani Iringa ili waweze kusaidia ukuaji wa Teknolojia

RIPOTI NA FABIOLA BOSCO