Recent posts
8 April 2024, 12:26 PM
Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia
mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…
4 April 2024, 11:56 AM
Jela miaka 30 Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
Mbaroni Kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake
30 March 2024, 11:14 AM
Matendo mema yawe endelevu na si wakati wa Kwaresma, mwezi Ramadhan tu
Waumini wakat wa neno
18 January 2024, 9:29 AM
Hokololo, NBS watoa mafunzo kwa watendaji Mtwara
MASASI Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Mtwara kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, AGNES HOKOLOLO , amewataka viongozi walioshiriki mafunzo ya kujengewa uwezo kutoka Tume ya Taifa ya Takwinu NBS kuyatumia kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo katika maeneo…
17 November 2023, 10:08 AM
Masasi waonywa kutotumia walemavu kujiingizia kipato
MASASI. Jamii wilayani Masasi imetakiwa kutowatumia watu wenye changamoto ya ulemavu kama sehemu ya kujiingizia kipato kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria. Wito huo umetolewa na wakili wa kujitegemea wilayani humo Kida Mwangesi, katika studio za Radio Fadhila wakati akiwasilisha…
17 November 2023, 10:02 AM
CCM Mtwara yakagua miradi ya maendeleo Masasi
Masasi Kamati ya Chama Cha Mapinduzi {CCM} mkoa wa Mtwara, imefanya ziara ya kikazi wilayani Masasi kwa lengo la kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Ziara hiyo imeongozwa na katibu wa chama ngazi ya mkoa David Molle, ambapo walitembelea…
17 November 2023, 9:55 AM
Wanafunzi Masasi wahimizwa kupambana na vitendo vya ukatili
MASASI. Mwenyekiti wa kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili idara ye elimu mkoa wa Mtwara Kristine Simo, ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Upendo Charity inayojishughulisha na kusaidia jamii yenye uhitaji iliyopo wilayani Masasi, amewataka wanafunzi…
8 August 2023, 11:16 AM
Upendo Charity wamfariji Bibi Sabra
Wanakikundi wa Upendo Charity, kinachopatikana katika halamshauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, wameshiriki kufanya matendo ya huruma kwa kutoa maziwa ya Lactojeni dazeni moja na nguo za kujikinga na baridi kwa mtoto Sabra aliyezaliwa hivi karibuni katika Hospitali ya…
8 August 2023, 10:59 AM
WAKIHABIMA waitaka jamii kuibua taarifa za vitendo vya kikatili
Afisa vijana kutoka idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara Ebeneza Wisso, ametoa rai kwa wasaidizi wa kisheria kutoka shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na usaidizi wa kisheria katika halmashauri hiyo WAKIHABIMA, kujikita katika jamii…