Radio Fadhila

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga hbumbuli ameshinda rufani

28 February 2021, 4:28 AM

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga @hbumbuli ameshinda rufani yake na Sasa yupo huru kuitumikia klabu yake. Ikumbukwe Bumbuli alifungiwa kujishughulisha na masuala ya soka kwa miaka 3 na Kamati ya Maadili ya TFF.