News
11 April 2023, 8:46 PM
Mapokezi ya mwenge wa uhuru halmashauri ya mji Masasi
makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg Elias Ntiruhungwa. Ukiwa Halmashauri ya Mji Mwenge wa Uhuru utakimbizwa Kilometa 81 na utapita katika Miradi 5…
9 March 2023, 11:04 AM
Mtandao wa Askari wanawake Tanzania na watoto wenye usonji
Picha na Lilian Martin Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani umoja wa Majeshi wilayani Masasi kupitia mtandao wa Askari wanawake wameadhimisha siku ya wanawake Duniani Kwa kuwa pamoja na watoto wenye mtindio wa ubongo na usonji katika shule ya…
3 March 2023, 9:43 PM
Mbunge awapongeza Kwa ubunifu week ya elimu Masasi
katika siku ya maadhimisho ya week ya elimu Kwa Halmashauri ya mji Masasi yaliyohudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na secondary zilizopo katika halmashauri hiyo pichani ni wanafunzi wakionyesha burudani. sambamba na hayo katika maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na Mh…
14 February 2023, 5:41 PM
Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao
Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…
3 February 2023, 3:49 PM
Usalama wa mwanafunzi katika kufikia mpango wa shule salama
Mazungumzo kujadili mpango wa Shule salama
19 December 2022, 6:56 AM
Argentina bingwa wa kombe la Dunia 2022
ARGENTINA BINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2022 Pale wazee waliposema ya kale ni dhahabu walimaanisha kabisa hasa ukizingatia kilichotokea kwenye kombe la dunia nchini Qatari historia imeandikwa takribani miaka thelathini na sita nchi ya Argentina kuhusu story ya ushindi wa…
26 March 2022, 3:55 AM
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini ya kiislamu wakiwemo viongozi wa BAKWATA kwa kuendelea kutoa ushirikiano na kushikamana na Serikali kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya na kuwataka wasiache moyo huo wa upendo. Kitta…
14 February 2022, 11:23 AM