Recent posts
19 April 2024, 11:37 am
Marufu pikipiki za Samia kuendeshea bodaboda
Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Sengerema kimegawa pikipiki kwa viongozi wake wa kata na matawi ili kuwarahisishia kazi zao za kichama. Na:Emmanuel Twimanye Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza waliopatiwa pikipiki na chama hicho wamepigwa…
16 April 2024, 4:00 pm
Amuua mke kisa wivu wa kimapenzi
Matukio ya kujeruhi na kuua wenza wao yamezidi kushamili katika maeneo ya Kanda ya ziwa hasa katika wilaya ya Sengerema ambapo zaidi ya matukio matano yameripotiwa kutokea ndani ya miezi mitatu. Na:Said Mahera Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson…
4 April 2024, 4:26 pm
Marufuku kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe
Kutokana na kkuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto nchini Serikali ya mtaa wa Migombani Imepiga marufuku wazazi kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe mjini Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Migombani Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani…
2 April 2024, 3:13 pm
Akatwa mapanga usiku akienda kwenye mkesha wa pasaka
Mtu asiyejulikana amemjeruhi kwa mapanga mwanamke anayejulikana kwa majina ya Mariam Sebagi mkazi wa mtaa wa Misheni usiku akiwa na wenzake wakielekea kwenye mkesha wa Pasaka mjini Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Mariam Sebagi mkazi wa…
29 March 2024, 6:41 pm
Sengerema: Watakaofanya uhalifu sikukuu za Pasaka kukiona
Wakristo ulimwenguni kote wanaungana kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kama kumbukumbu ya mateso, kufa na kufufuka kwa bwana Yesu kristo. Na;Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Geita Road kata ya Nyatukala wilayani Sengerema mkoani Mwanza imetangaza mapambano makali dhidi ya wahalifu…
25 March 2024, 6:52 pm
Wanafunzi wachapwa viboko 75 kwa tuhuma za kufanya mapenzi shuleni
Kuvunjwa mikono, kuachwa na makovu mwilini pamoja na vifo ni matukio mbalimbali yaliyotendwa na yanayoendelea kutendwa dhidi ya wanafunzi huku sababu kubwa ikihusisha adhabu ya viboko jambo la kusikitisha zaidi ni kuwa, utolewaji wa adhabu hizo haufuati taratibu, kanuni pamoja…
22 March 2024, 6:38 am
Chama cha Mapinduzi cha shinda udiwani Kata ya Buzilasoga Sengerema
Kata ya Buzilasoga ni miongoni mwa kata 22 za Tanzania bara ambazo tume ya uchaguzi ilitangaza kufanyika uchaguzi mdogo katika kata hizo ambapo mgombea wa chama cha mapinduzi ndiye aliyetangazwa kuibuka mshindi kati ya wagombea wengine nane kutoka vyama tofauti.…
21 March 2024, 5:14 pm
TFS Sengerema yapanda miti kukabiliana na uharibifu wa mazingira
Kutokana na kuongezeka kwa changamoto ya mabadiliko ya tabianchi duniani jamii imezidi kuhimizwa kupanda na kutunza misitu ili kusaidia kupunguza hewa ya ukaa inayotajwa kutesa dunia ya sasa. Na: Elisha Magege Jamii imetakiwa kupanda miti kwenye maeneo ya wazi ili…
14 March 2024, 3:51 pm
Mitishamba chanzo cha vifo vitokanavyo na uzazi Sengerema
Vifo vitokanavyo na uzazi wilayani Sengerema vimekuwa vikitajwa kuongezeka kutokana na mwitikio mdogo wa akinamama wajawazito kuhudhuria kliniki kwa wakati na matumizi ya dawa za kienyeji. Na:Elisha Magege Matumizi ya dawa za kienyeji yatajwa kuwa chanzo cha vifo vya akinamama…
14 March 2024, 3:20 pm
Yusuph Hodari akutwa amefariki uwanjani Sengerema
Jeshi la polisi wilayani Sengerema limefika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu Yusuph Hodari aliyekutwa amefariki dunia eneo la Mnadani, kisha kuupeleka katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Na:Emmanuel Twimanye Mtu mmoja…