Sengerema FM
waziri aweso
26 April 2021, 8:57 am
Waziri Aweso azinguana na watumishi 8 wa maji Mwanza
Waziri wa maji Jumaa aweso ameangiza kuwekwa ndani watumishi saba wa maji mkoa wa Mwanza kufatia kuwepo na utekelezaji mbovu wa miradi ya maji wilayani Sengerema. Waziri aweso amefikia uamzi huo baada ya kukuta miradi mingi ya maji haijakairika wilayani…