Offline
Play internet radio

Recent posts

19 April 2024, 11:49 am

Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi

Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya…

18 April 2024, 4:40 pm

Mpango wa chakula mashuleni kuongeza ufaulu wa wanafunzi Bariadi

Chakula mashuleni ni swala la muhimu sana katika kukuza maendeleo ya wanafunzi kwenye ufaulu wa mitihani yao kitaifa na hivyo itapunguza utoro kwa wanafunzi mashuleni. Na,Daniel Manyanga Wazazi na Walezi wa wanafunzi katika shule ya msingi Imalilo iliyopo halmashauri ya…

17 April 2024, 10:49 am

DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo

Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…

16 April 2024, 7:32 pm

Itilima wakosa huduma ya maji safi na salama kwa wiki tatu

Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga  Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo  wilayani  Itilima mkoani Simiyu  wakosa huduma ya maji safi…

16 April 2024, 10:04 am

Mfumo wa stakabadhi ghalani kuwanufaisha wakulima Simiyu

  Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi  Mkoani  Simiyu  Wameishukuru  Serikali  Kuruhusu  kuuza  Mazao  yao  ya  Nafaka  kupitia  Mfumo  wa  Stakabadhi  Ghalani …

10 April 2024, 6:00 pm

DC Maswa atangaza kiama kwa wakandarasi wazembe

Hatuwezi kuwa na wakandarasi wazembe namna hii ambao hawafanyi kazi kwa mujibu wa mkataba na hawajui ni adha gani ambayo wananchi wanaipata  nishauri serikali imfute mkandarasi na kampuni yake hiyo katika orodha ya Wakandarasi hapa nchini. Na ,Daniel Manyanga Mkuu…

4 April 2024, 5:31 pm

Jamii ya wafugaji, wadzabe wanufaika na mafunzo ya sheria ya ardhi

Jamii ya wafugaji na Wahadzabe wamenufaika na mafunzo ya Sheria ya Ardhi kwa lengo la kuzisaidia jamii hizo kujua  hatua za utatuzi wa migogoro kwenye maeneo yao. Na,Alex Sayi Shirika la DANMISSION kwa ushirikiano na kanisa la KKKT Jimbo la…

4 April 2024, 3:02 pm

DC Maswa Atoa Siku 14 Watendaji Kukabidhiana Ofisi

Na, Daniel Manyanga Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani  Simiyu  Aswege Kaminyoge  ametoa siku…

3 April 2024, 10:20 am

DC KAMINYOGE ;  Wananchi  Jitokezeni   kwenye  Mikutano  ya  Hadhara

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Enock  Kaminyoge  amewataka  Wananchi  wilaya  hapo  kujitokeza  kwa  Wingi  katika  Mikutano  ya   Hadhara  inayoitishwa  na  Viongozi  wao  wa  Vijiji  na  kata  ili  kutoa  kero  zao  na  changamoto  mbalimbali  zinazowakabiri. Mh  Kaminyoge …

28 March 2024, 10:19 am

LAAC yaipongeza Maswa kwa usimamizi mzuri wa miradi

Kamati  ya  Kudumu  ya  Bunge  ya  Hesabu  za  Serikali  za  Mitaa –  LAAC   imeipongeza  Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  kwa  Usimamizi  Mzuri  wa  Fedha  za  Miradi  ya  Maendeleo zinazoletwa  Wilayani  hapo. Akitoa  Pongezi  hizo  mara  baada  ya  kutembelea  Jengo  la …

21 March 2024, 7:05 pm

TARURA kutumia zaidi bil. 4.1 ukarabati wa miundombinu Maswa

Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wanatarajia kuzifanyia marekebisho Barabara zenye mtandao wa Km,227.21 zilizoathiriwa na Mvua za msimu. Na. Alex Sayi Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imeendelea na matengenezo ya barabara…

13 March 2024, 11:35 am

DC  Maswa  aagiza viongozi, watendaji  kusikiliza kero za wananchi

Mkuu  wa  Wilaya ya  Maswa  mkoa  wa  Simiyu  Mh  Aswege  Kaminyoge   ametoa  maagizo   kwa  watendaji na  viongozi  wengine  kusikiliza  kero za  za  wananchi  na kuzitafutia  ufumbuzi na  siyo  kusubiri viongozi  wa  ngazi  za  juu kuja  kusikiliza  kero  ambazo  zingetatuliwa na  viongozi …

13 March 2024, 10:44 am

Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mh Aswege Kaminyoge   amemshukuru   Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata  ya  Senani  ili kumsaidia  mkulima  katika  kuongeza  tija  katika  zao la pamba. DC Kaminyoge  ametoa  shukrani  hizo  wakati  wa  kuzindua zana…

11 March 2024, 5:43 pm

Ongezeko la mamba mto Simiyu latishia maisha ya wananchi

Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa  uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…

10 March 2024, 8:38 am

Red Cross: Mwanamke ni nguzo muhimu kwa taifa

Chama cha msalaba mwekundu mkoani Simiyu kimesherekea siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Maswa katika kutambua na kuthamini mchango wa Wanawake katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo nchini. Na,Paul Yohana Katika kuenzi na kuthamini mchango…

1 March 2024, 8:07 pm

96 wahitimu mafunzo ya udereva Maswa

Jumla  ya  maafisa  usafirishaji 96  wamepatiwa  vyeti vya  udereva  na  leseni  za  uendeshaji  vyombo  vya  moto  ikiwemo  pikipiki  na  magari  madogo  baada  ya  kufuzu  mafunzo  ya  uendeshaji  wa  vyombo  hivyo. Akikadhi  vyeti  hivyo  na leseni , Mkuu  wa  Wilaya  ya …

1 March 2024, 5:03 pm

Wanawake jamii ya kihadzabe Meatu waomba msaada wa Rais Samia

Jamii ya kihadzabe  inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…

28 February 2024, 11:15 am

DC Kaminyoge atoa ufafanuzi  changamoto ya sukari wilayani Maswa

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mh,  Aswege  Kaminyoge  ametoa ufafanuzi  kuhusu  Changamoto  ya  Kupanda  kwa  bei  ya  Sukari   na  kutoa  maelekezo  ya  Serikali  kuhusu  upatikanaji  wa  Bidhaa  hiyo. Kaminyoge  amesema  hayo  wakati  akizungumza  na  Wafanyabiashara  wa  Maswa na …

25 February 2024, 6:29 pm

Takukuru Simiyu yaokoa zaidi ya shilingi milioni 70

Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa  mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kuokoa  fedha   zaidi  ya shilingi  milioni sabini  zilizotaka  kufanyiwa  ubadhirifu  katika  Chuo cha  Maafisa  Tabibu  wilayani  Maswa. Akitoa  taarifa  kwa  waandishi  wa  habari, Naibu Mkuu wa  Takukuru  mkoani …

25 February 2024, 6:14 pm

CHADEMA Simiyu yajipanga kuingia  kwa  kishindo uchaguzi serikali za mita…

Chama cha  Demokrasia  na  Maendeleo   Chadema  Mkoa  wa  Simiyu  kimesema  kuwa  kimejipanga  kuingia  kwa  kishindo  katika  uchaguzi  wa  serikali  za  mitaa utaofanyika  mwishoni  mwa  mwaka  huu  wa  2024. Kauli  hiyo  imetolewa  na  Mwenyekiti  wa  Chama  hicho  Mkoa  wa  Simiyu   Musa …

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!