Sibuka FM

Recent posts

18 February 2024, 3:43 pm

Baraza la madiwani laridhia kuvunjwa mamlaka ya mji mdogo Maswa

Na Nicholaus Machunda Baraza  la  Madiwani  la  Halmashauri  ya   Wilaya ya  Maswa  kwa Kauli  moja  limeridhia  kuvunjwa  kwa  Mamlaka  ya  Mji  mdogo  Maswa  kwakushindwa  kukidhi  vigezo  na  Kuazimia  kuanzisha  Mchakato  wa  Kupata  Halmashauri  mbili.https://maswadc.go.tz/ Azimio  hilo  lilitolewa    na  Mkrugenzi  Mtendaji …

8 February 2024, 8:50 pm

Zaidi ya watoto laki moja kupata chanjo ya surua, rubela Maswa

Watoto wenye  umri wa kuanzia miezi tisa hadi chini ya miezi hamsini na tisa kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubela katika kampeni ya kitaifa ya siku nne. Na,Daniel Manyanga Zaidi ya Watoto Laki Moja walio na umri chini…

7 February 2024, 1:56 pm

DC Maswa atahadharisha wanaotorosha  mazao ya nafaka

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  mkoa  wa  Simiyu  Mhe  Aswege  Kaminyoge  amewatahadharisha  Wafanyabiashara  wa  Mazao ya  Nafaka utoroshaji  na  kukwepa  kulipa  Ushuru  wa  Mazao  hayo. Mhe  Kaminyoge  amesema  hayo  katika  kikao  cha  Wadau  wa Kilimo  na  Mazao  Mchanganyiko  kilichofanyika  Katika  ukumbi  wa …

5 February 2024, 11:58 am

Mkuu wa Wilaya akanusha  taarifa  za  Nyumba  112  kobomoka kufuatia  M…

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa, Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Kaminyoge  amekanusha  taarifa iliyotolewa  kwenye vyombo  vya  habari   kuwa   nyumba  112  zilibomolewa  na   mvua  kubwa  iliyonyesha  Tarehe  27/01/ 2024  katika  kata  ya  Mbaragane    na  kusema  kuwa    ni  nyumba  5  tu zilizobomoka…

1 February 2024, 2:15 pm

Meatu:wahadzabe waiomba Serikali kuwatengea makazi ya kudumu

Wahadzabe wapatao  (360 ) waishio kwenye kaya (46) kijiji cha Sungu Kata ya Mwabuzo Wilayani Meatu Mkoani Simiyu hawana makazi rasmi. Na, Alex Sayi. Wahadzabe waishio pembezoni mwa pori la akiba la Makao lililopo Wilayani Meatu Mkoani Simiyu wameiomba Serikali…

27 January 2024, 7:29 pm

Migogoro ya ardhi, mirathi yapatiwa mwarobaini Maswa

“Wananchi waitumie wiki na siku ya sheria kupata elimu ya kisheria ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima hasa migogoro ya ardhi na mirathi kwa sasa hairipotowi kwa wingi katika vyombo vya kutoa haki.” Na,Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa…

14 January 2024, 12:42 pm

22 wafariki kwa kuporomokewa na kifusi mgodini Simiyu

Tumefanikiwa kuokoa miili ishirini na mbili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu kufuatia kuporomoka kwa duara wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji Na,Daniel Manyanga Watu ishirini na mbili  wamefariki dunia  kwa kufukiwa  (kuporomokewa) na kifusi…

9 January 2024, 1:17 pm

RC Nawanda apiga marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni Simiyu

Marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni pamoja na kula vyakula maeneo yenye mikusanyiko ya watu ili kujikinga na kuenea kwa mlipuko wa magonjwa ya Kuhara na Kutapika. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda amepiga marufuku uuzaji wa vyakula…

18 December 2023, 9:40 am

Maafisa tarafa, VEO na WEO kusimamia uandikishaji wa wanafunzi Maswa

Zoezi la uandikishaji wa wanafunzi wanaoanza masomo katika mwaka masomo 2024 kwa elimu ya msingi na sekondari lipo chini ya afisa tarafa, watendaji wa kata na vijiji kwa kushirikiana kwa ukaribu na wenyeviti wa vijiji na vitongoji. Na Daniel Manyanga…

16 December 2023, 12:01 pm

DC Maswa: Wananchi tunzeni vyanzo vya maji

Wadau wa maji na Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji ili kuweza kukabiliana na ukame unaosababishwa na shughuli za kijamii pamoja na mabadiliko ya tabia nchi Na Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mhe.Aswege Kaminyoge amewataka Wananchi…

13 December 2023, 1:37 pm

Kanisa kushiriki ujenzi wa makaravati Maswa

Zaidi ya  Sh.Mil,15 kutumika kufanya Ujenzi wa Karavati(3)kwenye baadhi ya mitaa  Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi Kanisa la Repentence Pentacost Mission Church of Tanzania (RPMT) limekabidhi karavati moja lenye gharama ya  zaidi ya Sh.Mil 5 kati ya madaraja…

11 December 2023, 6:56 pm

Maswa:Wanawake bado niwaathiria wa vitendo vya  ukatili wakijinsia.

Takwimu zimeonyesha kuwa bado kuna idadi kubwa ya wanawake wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi. Imebainishwa kuwa Wanawake Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameendelea kuwa waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa mujibu wa Takwimu…

6 December 2023, 8:27 pm

Jaccafo yafanya maadhimisho ya watu wenye ulemavu Maswa

Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi  na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…

2 December 2023, 7:44 am

Kamati ya siasa Maswa yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo

Kamati  ya Siasa ya  chama  cha  Mapinduzi   (CCM) Wilaya  ya  Maswa  ikiongozwa  na  Mwenyekiti wa  Chama  hicho   Ndugu  Onesmo   Makota Imetembelea   na  Kukagua  Miradi  mbalimbali  ya  Maendeleo inayotekelezwa  katika  Jimbo  la  Maswa  Magharibi. Miradi  iliyotembelewa  na  kukaguliwa  na  Kamati  hiyo …

28 November 2023, 2:55 pm

Maswa: Wazazi waaswa kuwasomesha watoto elimu ya ufundi

Wazazi waaswa kuwasomesha Watoto wao Elimu ya Ufundi ili kukabiliana na obwe la ukosefu wa ajira uliopo Serikalini kwa hivi sasa. Na,Alex Sayi. Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mashimba Ndaki amewaasa wazazi/walezi kuwasomesha watoto wao Elimu ya Ufundi ili…

19 November 2023, 5:37 pm

CCWT kuanza usajili wafugaji kwa njia ya kielektronik

Chama Cha Wafugaji Taifa (CCWT) ziarani nchi nzima kuhamasisha wafugaji kujisajili kwa njia ya kielektronik ili wafugaji hao wawe na chombo cha kuwaunganisha na kutatua matatizo yao. Na Alex Sayi. Chama Cha Wafugaji Taifa kimeendelea na ziara nchi nzima kwa…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!