Sibuka FM
Chanjo ya Mifugo
23 April 2024, 8:58 am
Homa ya mapafu yatishia usalama wa mifugo Maswa
Zoezi la uchanjaji wa mifugo wilayani Maswa mkoani Simiyu kuwasaidia wafugaji kufanya ufugaji wenye tija na kuongeza thamani ya mifugo yao hivyo kuondokana na umasikini. Na,Paul Yohana Zaidi ya ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu kupatiwa chanjo ya homa…
20 April 2021, 10:28 am
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu kuchanjwa wilayani Maswa
Zaidi ya Ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu zinatarajiwa kuchanjwa ili kudhibiti Magonjwa ya Mifugo ikiwemo Ugonjwa wa Mapele ya ngozi ili kuboresha bidhaa ya ngozi na Ushindani wa Soko.. Akitoa taarifa kwa Mkuu wa wilaya ya Maswa Mh…