Sibuka FM
ELIMU
18 May 2021, 10:30 am
Waziri Mashimba Ndaki akabidhi viti na Meza Shule za Sekondari kwenye…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Simiyu Mh, Mashimba Ndaki amekabidhi Viti na Meza kwa ajili ya wanafunzi vyenye thamani ya shilingi Milioni Kumi na nane ili kuondoa Changamoto ya Wanafunzi kukaa chini.…