Sibuka FM

Maji

22 July 2021, 10:47 am

Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  mamlaka  ya  maji  na  Usafi wa  mazingira  Maswa- MAUWASA   Mhandisi   Nandi  Mathias  amesema  kuwa   kuanza  kutekelezwa  kwa  mradi  wa  maji  kutoka  ziwa  Victoria  utaondoa  changamoto  ya  Upatikanaji  wa  Maji  katika  katika  Mji  wa  Malampaka  uliopo wilayani  Maswa  …

23 June 2021, 10:15 am

Mradi wa Chujui la Maji Maswa wanufaisha wakazi zaidi ya Laki moja.

Zaidi  ya   wakazi  Laki  moja  wa  Mji  wa  Maswa  na  vijiji  jirani  wamenufaika   na  Mradi  wa    Mtambo  wa  kutibu  na  Kusafisha   Maji. Hayo  yamesemwa  na  Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Mamlaka  ya  Maji  na  Usafi  wa  Mazingira  Maswa-MAUWASA   Mhandisi    Nandi  Mathias …

31 March 2021, 12:55 pm

Milioni 160 kununua Dira za maji Maswa

Zaidi  ya  shilingi  Milioni  160 zimetolewa  na  serikali  ya jamhuri  ya  muunga no  wa  tanzania  kwa   ajili  ya  ununuzi  wa  dira  za  maji  ili  kila  mtu  anayetumia   alipe  kwa  kadri  ya  matumizi  yake. Hayo  yamesema  na  mkuu  wa  wilaya   ya  …