Sibuka FM

TMDA

11 May 2021, 8:13 am

TMDA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU BADO NI CHANGAMOTO

Meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) Sofia Mziray amesema bado kuna changamoto ya utunzaji wa kumbukumbu dawa zenye madhara ya kulevya. Ameyasema hayo  kwenye kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa sekta ya afya na mifugo  ambacho kimefanyika kwa…