Sibuka FM
uchaguzi
23 May 2021, 8:07 am
chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa simiyu chapata mwenyekiti mpya
Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu leo kimefanya uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ili kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Enock Yakobo aliyefariki februari 23 ,2021. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo msimamizi wa uchaguzi huo…