Storm FM
13 March 2024, 4:20 pm
Wananchi wakwama kisiwani kisa kivuko
Ukosefu wa kivuko cha uhakika katika visiwa mbalimbali hapa nchini imekuwa changamoto kwa wnanchi kufanya shughuli za uchumi Wakazi wa kisiwa Cha Izumacheli wilayani Geita wamedai kukabiliwa na Changamoto ya usafiri wa Kutoka katika kisiwa hicho baada ya ferry waliyokuwa…
12 March 2024, 3:05 pm
Ubovu wa barabara wakwamisha maendeleo
Kuharibika kwa miundombinu ya barabara nakutelekezwa kwa muda mrefu bila kufanyiwa matengenezo imekuwa kikwazo cha maendeleo kwa wananchi wengi Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa mitaa ya Katundu na Moringe Halmashauri ya Mji wa Geita wameiomba serikali kuijenga kwa…
4 June 2021, 9:58 pm
Storm FM waungana na wakazi wa Mpomvu kusafisha Mazingira
Wafanyakazi na viongozi wa kituo cha Storm fm kwa kushirikiana na Idara ya mazingira na wakazi wa mtaa wa Mpovu kata ya Mtakuja wamefanya usafi katika soko la mtaa huo lengo likiwa ni kuhimiza jamii kujenga desturi ya kuishi kwenye…
4 June 2021, 9:50 pm
Buzi wakamatwa Geita
Baadhi ya wafugaji wa Mifugo aina ya mbuzi katika Mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita wamefika nakutoa malalamiko katika ofisi ya mtaa huo kutokana na mbuzi wao kukamatwa bila kufuata utaratibu unaotakiwa. Aidha wananchi wa…
4 June 2021, 9:41 pm
Tutumie nishati mbadala kuokoa Mazingira
Jamii katika halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa matumizi ya majumbani na sehemu za kazi ili kuondokana na changamoto ya ukataji wa miti na utupaji wa taka hovyo. Rai hiyo imetolewa na afisa mazingira…
31 May 2021, 2:00 pm
Uchimbaji holela wa madini ya dhahabu waathiri Maeneo ya kilimo na makazi
WAKAZI wa vijiji vya Lwamgasa wilayani Geita na Nampalahala wilayani Bukombe Mkoani Geita vinavyopakana na mapori ya hifadhi wameiomba Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwaruhusu kutumia baadhi ya maeneo hayo kwa shughuli za kilimo na makazi kutokana na…
30 May 2021, 2:00 pm
Watoto 4 wakamatwa kwa kukesha wakicheza PS
Watoto Wanne(4) Akiwemo Ramadhani Hasani Wakazi Wa Kata Ya Nyankumbu Halmashauri Ya Mji Wa Geita Mkoani Geita Wamekutwa Wamefugiwa Ndani Ya Chumba Cha Mchezo wa Game za Play Statio PS. Akielezea Mmoja Wa Wazazi Wa Watoto Hao Bi Amina Jumanne Amesema…
28 May 2021, 2:10 pm
Wanaume watakiwa kujitokeza kufanyiwa tohara Geita
Wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Mkoani Geita wameshauriwa kujitokeza katika vituo vya afya kupatiwa huduma hiyo kwani inasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali ikiwemo kupunguza 60% ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Rai hiyo imetolewa na Mratibu wa kuthibiti Ukimwi Mkoani Geita …
27 May 2021, 2:22 pm
Wanawake tujishughulishe na kazi kuepuka utegemezi
Wanawake katika kata ya Mgusu wilayani Geita wameshauriwa kujishughulisha na biashara ndogo ndogo za halali ili kuepuka utegemezi katika jamii. Rai hiyo imetolewa na wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa mgusu miners wakati wakizungumza…
26 May 2021, 2:17 pm
Mkoa wa Chato wapendekezwa kuundwa na wilaya 5
Kikao cha kamati ya ushauri cha mkoa wa Geita (RCC) kimekubaliana kwa pamoja kuwa mkoa mpya wa Chato utakaomegwa kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa jirani za kagera na kigoma utaundwa na wilaya tano za Chato,Bukombe,Ngara,Bihalamulo na kakonko. Kikao…