stormFM
8 June 2021, 4:06 pm
Breaking News: Mtu Mmoja Ajeruhiwa Kutokana Na Ajali Ya Gari.
Na Ester Mabula: Mtu Mmoja ambae hakujulikana kwa jina Wala Makazi amejeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace lenye namba za usajiri T- 115 – DGV wakati alipokuwa akijaribu kuvuka Barabara na baiskeli. Baadhi ya abiria waliyokuwa ndani…
8 June 2021, 3:37 pm
Jamii Yaaswa Kuwaelewa Wajawazito
Na Zubeda Handrish: Jamii imetakiwa kuwa na uelewa juu ya hali anayopitia mwanamke katika kipindi cha ujauzito ambacho mara nyingi hupelekea mwanamke kuchagua baadhi ya vyakula pamoja na hasira. Hayo yamezungumzwa na Daktari Victor Kajoba kutoka hospitali binafsi ya SAKAMU…
7 June 2021, 6:57 pm
TWCC Yawatembelea Wanawake Migodini
Na Zubeda Handrish: Katika kuendelea kuwainua wafanyabiashara wadogo wanawake kwa upande wa Uchimbaji,Mkurugenzi Mtendaji Wa Chama Cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) Bi Mwajuma Hamza ametembelea machimbo madogo ya Dhahabu ya Mgusu, Msasa na Nyarugusu Mkoani Geita Akizungumza na Strom FM…
31 May 2021, 8:16 pm
DC Geita Awasisitiza Wakulima Kuchangamkia Fursa Za Mikopo.
Na Joel Maduka: Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amewataka wakulima kuchangamkia fursa ya Mkopo wa vifaa vya Kilimo inayotolewa na Benki ya NMB ambayo itawasaidia kujikwamua kwenye shughuli zao za kilimo ambazo wamekuwa wakizifanya. Mkuu wa Wilaya ya…
31 May 2021, 8:08 pm
Ushindani UMITASHUMTA Waongezeka Geita.
Na Joel Maduka: Afisa michezo Mkoa wa Geita, Carol Steven amesema kwa kiasi kikubwa ushindani kwa halmashauri sita zilizopo ndani ya Mkoa wa Geita ni mkubwa zaidi ukilinganisha na miaka ambayo wameshaendelea na michuano ya michezo ya UMITASHUMTA ambao umekuwa…
31 May 2021, 7:51 pm
Wakimbiza Baiskeli (Daladala) Washauriwa Kutumia Lugha Za Staha.
Na Zubeda Handrish: Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina la (Daladala) Mkoani Geita wamewashauriwa kutumia lugha za staha na kuzingatia suala la usafi na utunzaji wa mazingira wawapo katika vituo au vijiwe vyao vya kazi Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa…
15 April 2021, 6:23 pm
Tukuze Utalii wa ndani sisi wenyewe
Na Mrisho Sadick: Katika kukuza utalii wa ndani baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari Mkoani Geita wameungana kwa pamoja kuchangia ziara ya mafunzo katika Hifadhi za Taifa kwa lengo la kujijengea uwezo wa kitaaluma kuhusu rasilimali hizo.…
15 April 2021, 6:15 pm
Wanufaika wa Tasaf Geita wapewa ushauri
Na Elizabeth Obadia Wakazi wa mtaa wa nyamalembo wanaonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini tanzania tasaf wameshauriwa kuzitumia vizuri pesa wanazozipata kwa kufanya uwekezaji ili kujiongezea kipato zaidi. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa nyamalembo Bw.…
15 April 2021, 6:08 pm
Walazimika kuanzisha kituo cha Polisi kukabiliana na uhalifu
Na Mrisho Sadick: Kutokana nakushamili kwa vitendo vya uhalifu katika kata ya Nyankumbu mjini Geita wananchi na viongozi wa eneo hilo wamelazimika kuanzisha kituo kidogo cha polisi ili kukabiliana na changamoto hiyo. Wakizungumza katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi,…
15 April 2021, 6:00 pm
Wananchi washiriki kutengeneza madawati Geita
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…